*SALA YA KUMWOMBA* *MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA* *MTAKATIFU YOSEFU)* Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda Bikira Mtakatifu Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya kumtunza Mtoto Yesu, twakuomba sana, utuangalie kwa wema sie tuliokuwa fungu lake Yesu Kristu, tukakombolewa kwa damu yake. Tusimamie katika masumbuko yetu kwa enzi na shime yako. Ee Mlinzi amini wa jamaa takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristu. Ee Baba uliyetupenda mno tuepushe na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji, utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwopoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi likinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote; mtunze daima kila mmoja wetu, tufwate mfano wako, ili tupate na msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupata mbinguni makao ya raha milele. Amina. *LITANIA YA MT. YOSEFU* https://youtu.be/UxdMr9TlUkA?s πͺ *NYIMBO YA MT. YOSEFU MFANYAKAZIπΉπΉπΉ https://youtu.be/kEbaHfBqA-A?si=6d1z6hde7LnzvkRP* π₯ ππΏββοΈ *KAULI MBIU YETU...βTufanye KAZI za BWANA na zetu ZIBARIKIWEβ*ππ½ β *Tunamshukuru MWENYEZI MUNGU Kwa kutukutanisha kwenye group letu hili KWA HESHIMA YA MT. YOSEFU, lenye dhima ya SALA NA KAZI. (Uhalisia ni MAISHA YA KIROHO na KIMWILI)*. β *Sisi kama WAKRISTO tunao wajibu wa kukumbushana juu ya kusali, na tunao wajibu wa kuzifanya KAZI zetu ziwe sehemu ya SALA, na SHUGHULI zote tuzifanyazo ili zimpendeze Mwenyezi Mungu*. β *Kila mwanagroup anao wajibu sawa kama FAMILIA YA MUNGU NA JUMUIYA YA MT. YOSEFU*. *Kwa NAMNA YA PEKEE TUNAO MAPADRE, MAFRATERI NA WATAWA HUMU KUNDINI*. ππ½ππ½ππ½ *Asanteni Sana* *Wenu:-* *Ndugu;* *Β©Adam Stanslaus Nandi*.π€π€π€ β‘β‘β‘β‘β‘β‘β‘β‘β‘β‘ ππππππHAIRUHUSIWI:- Kutuma LINK YA GROUP LOLOTE, au MAUDHUI yasiyohusu KANISA KATOLIKI, na yaliyo KINYUME CHA MAADILI.ππππππ. Β© [email protected]
Verified invite link, member details and advertising options on WhatsAd.
ZINGATIA β lugha za matus haziluhusiwi usipo chart mda mrefu tunakutoa stika za matus haziluhusiwi link za magroup mengne na link zozote zile haziluhusiwi humu Matangazo ya biashara ya haina yeyote hairuhusiwi zaidi ya matangazo ya kazi π¬ππΎπππππ πππΎπππΊππ ππΊ ππ πππΎπππππππΎ ππΊπππππππ ππππΊπ πππππ ππππΏπΊπππΊ ππππ πππΊπππ½ππ πΎππΊ πππΊ πππππ β¬οΈ [link hidden β subscribe to view]
Jina la Kundi: Wazalendo Halisi Sheria za Kundi 1. Heshima Kwanza β Hakuna matusi wala kejeli kwa mwanakundi yeyote. 2. Lugha ya Staha β Tumie Kiswahili fasaha na maneno ya kujenga. 3. Ujumbe Uwe wa Msingi β Epuka kusambaza habari zisizothibitishwa au zisizo na uhusiano na malengo ya kundi. 4. Maoni Yote Yanathaminiwa β Tofauti za mawazo ni ruksa, mradi tu yasielekee kwenye matusi au ugomvi. 5. Epuka Siasa Kali β Tujikite katika mazungumzo yenye tija na siyo yenye kuibua migawanyiko. 6. Usambazaji wa Taarifa Muhimu β Tuwe tunatumia kundi hili kupeana taarifa muhimu na maoni ya kujenga kuhusu kundi letu na shughuli zake. 7. Kusambaza Ratiba na Mipango β Kundi hili litakuwa sehemu rasmi ya kupanga, kushirikiana, na kujulishana kuhusu shughuli zetu. 8. Wasiliana kwa Hekima β Kila mmoja ana haki ya kuzungumza, tusikilizane.
THE AVIATOR COLLECTIVE WORLD π β Karibu kwenye ulimwengu wa ushindi na maarifa! Tunajihusisha kikamilifu na huduma za Aviator Training, ambapo tunafundisha kwa undani jinsi ya kucheza kwa umakini, nidhamu, na mikakati ya kisasa. π MAFUNZO YA AVIATOR β’ Tunatoa mafunzo ya kina kwa wachezaji wapya na wale wa kiwango cha kati. β’ Unajifunza namna ya kucatch Pink na Purple π kwa muda sahihi. β’ Tunakufundisha mbinu za kutambua pattern za mchezo, kudhibiti hasara, na kuongeza nafasi zako za ushindi. π ACCOUNT MANAGEMENT (HUDUMA YETU KUBWA ZAIDI) β’ Kama unataka utulivu na faida bila stress, tuachie sisi tusimamie akaunti yako. β’ Tunahakikisha kila mzunguko unasimamiwa kitaalamu, ukiwa na uwiano mzuri wa risk & profit. β’ Wateja wetu wengi wameshuhudia matokeo ya kweli na ukuaji wa haraka wa salio. β’ Tunatoa updates na feedback kila siku ili uhakikishe fedha zako zipo salama na zinatumiwa kwa busara. π§ FORMULATION YA SIGNAL ZA UHAKIKA β’ Kwa wale wanaopenda kujitegemea, tunafundisha namna ya kutengeneza signal zenye accuracy kubwa. β’ Signal hizi hutegemea uelewa na uchambuzi, si bahati tu β tunakufundisha namna ya kufikiri kama mtaalamu. β’ Kila signal inatengenezwa kwa kutumia real-time analysis na timing control. β οΈ ANGALIZO MUHIMU: β’ Aviator ni mchezo wa kiakili, si wa miujiza. β’ Hakuna app yenye uwezo wa kupredict mizunguko ya Aviator kwa asilimia π― β yeyote anayekuambia hivyo anakudanganya. β’ Ushindi unategemea nidhamu, mikakati, na maarifa sahihi. πΈ KWA NINI UCHAGUE SISI? β Tunatoa support 24/7 kwa wateja wetu. β Tunafanya transparent management bila ujanja wala hila. β Tunakupa motivation na mwongozo kila siku ili ujifunze huku unapata matokeo. β Tunajali pesa zako β tunasimamia kwa uadilifu na uangalizi wa kitaalamu. π₯ Jiunge leo na THE AVIATOR COLLECTIVE WORLD β Ulimwengu wa mafanikio, nidhamu, na akili ya ushindi! π π Kwa huduma ya Account Management, wasiliana na: π Sir Kelvin: π Sir Martin: π― Awa ndio wakali wa game! π
Karibu katika group la JOPO LA WAPISHI WA MUZIKI **Jopo la Wapishi wa Muziki** ni kundi la wataalam wenye ujuzi na uzoefu wa kina katika masuala ya muziki, wakiwemo wapiga ala, watunzi, na walimu kutoka nchi mbalimbali kama Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Kongo nk. Lengo kuu ni kuwakutanisha wataalam hawa pamoja na wale wanaojifunza ili waweze kubadilishana uzoefu na kujifunza zaidi kupitia malengo mbalimbali. ### **Majukumu Makuu ya Jopo** 1. **Uchambuzi na Tathmini:** Kazi kuu ya jopo hili ni kuchambua na kutathmini kazi za muziki, hasa katika mashindano au wakati mtu anapohitaji maoni. Wataalam watapitia vigezo muhimu kama ubora wa sauti, utunzi, utendaji wa mwimbaji, na uhalisia wa ujumbe. 2. **Utoaji wa Ushauri:** Jopo litatoa ushauri kwa waimbaji na watunzi wa nyimbo kuhusu jinsi ya kuboresha kazi zao. Ushauri huu unaweza kujumuisha masuala ya kiufundi, kama mpangilio wa sauti, au mambo ya ubunifu, kama jinsi ya kuandika maneno yenye nguvu zaidi. 3. **Kuratibu Matukio:** Jopo pia linaweza kuwa na jukumu la kuratibu matukio ya muziki, ikiwemo tamasha au warsha za muziki, ambapo walimu wengi wameshashiriki. 4. **Utafiti na Maendeleo:** Jopo hili litahusika katika kufanya utafiti kuhusu muziki na historia yake. Hii itasaidia katika maendeleo ya tasnia ya muziki na kuhakikisha kwamba muziki unaendelea kukua na kuboreshwa. Kwa kumalizia, jopo hili lina jukumu kubwa la kuhakikisha ubora, ukuaji, na ustawi wa tasnia ya muziki, hususan Muziki Mtakatifu. **Kumbuka:** Kama kuna link, Pdf na Mid zake au video itatumwa ndani ya kundi, iwe kwa ajili ya kujifunza na mfano kuhusu muziki mtakatifu kwa lengo la kubadilishana uzoefu tofauti na hapo basi Nyimbo, (Link, Pdf, Mid, Video) na matangazo vitumwe Jumapili pekee au kama mtu atakuwa ameomba atumiwe.
β οΈTANGAZO MAALUMU LENYE TAHADHARI NDANI YAKE β οΈ. GRUPU HILI LINAHUSIKA NA HUDUMA YA 1. VIFURUSHI VYA BEI NAFUU KWA MITANDAO YOTE TANZANIA. 2. HUDUMA ZA LAPTOP KWA BEI NAFUU KABISA. 3. HUDUMA ZA SIMU KWA BEI NAFUU KABISA. 4. NA HUDUMA NYINGINE KWAAJILI YA MSAADA KWAKO MDAU WANGU ILI KUFANYA MAMBO YAWE RAHISI. β οΈβTAFADHALI USIPOST KITU NJE NA HIVYO AU USIPOST BIASHARA YAKO YA AINA YOYOTE HAPA.ββ οΈ `PIA HAKIKISHA UNAPATA HUDUMA KUTOKA KWA ADMIN NA NAMBA ZA ADMIN AU MMILIKI WA GROUP NI TATU TU` [contact hidden]. NB: HUU NI UJUMBE WA ANGALIZO TU ILA SIO KATAZO, HIVYO UKIONA UMERIDHIKA NA HUDUMA KUTOKA KWA MTU MWINGINE NI SAWA ILA YATAKAYOKUKUTA SI DHAMANA YANGU. KARIBU SANA KWA HUDUMA BORA NA ZENYE UHAKIKA HAPA MR NO TIME DATA
*_ππΌοΈKARIBU UJIFUNZEππ JINSI GANI YA KUNUFAIKA UKIWA NA SIMUπ±π± YAKO APO APO ULIPOπ«΅π«΅ KUPITIA MITANDAOπ€³π€³ YA KIJAMII KWA KUTUMIA CAMPUNY YA 26PESA _* *πΈπ³26PESA* _hii ni platform ya online businessπ± inajiusisha na biashara za mtandaoni utangazaji wa matangazo mbali mbali ya macampuny mbali mbali ya ndani na Nje ya Nchiπ’_ *π³πΈ26PESA* _campuny hii itakuwezesha kutengeza pesa kuanzia 50,000 mpaka 100,000 kwa siku ukiwa apo apo ulipo unalipwa unapofanya kazi ya kupost matangazo ya campuny na utalipwa kulingana na IDADI ya watu watakao ona Tangazo kwa kila Tangazo utakalo post yaani kila views 1000_ *π³πΈ26PESA* _campuny hii itakupa OFA mbali mbali za kukufanya upende kufanya nayo kazi mfano wa OFA utaangalia video na Kulipwa 2000 mpaka 3000 kwa kila video kwa mitandao yote kama π TikTokπ Facebookπ YouTubeπ Instagramπ na utaekewa video 15 kila siku kwenye kila mtandaoπΉ_ utapewa GB5 Kila siku ambazo zitakufanya uipende Kazi yako nauifanye Bila wasiwasiπ€π€ *π³πΈ26PESA* _yote ayo utayafanya ndani ya application ya 26PESA ambayo inapatikan play store Gusa link hii kudanlod application ππ_ ππππ ππ‘ππ€πππ€π ππππ ππππ¦π π‘πππ. *ili kuanza kazi unaitajika kuwa na pesa 14000TZS πΉπΏ/=24500FCπ¨π©kama kianzio cha kuwezesha utengenezaji wa account yako ifunguke ianze kupokea ela na iwekewe ulinzi wa kiserikali kuepuka matapeli wa Kimtamdaoβͺ* *πLINK YA KUJISAJILI 26PESA PLARTFOM NI HII APAπ* *GUSA LINK hiyo kujisajilππ* https://26pesa.store/page/reg.php?reg=Deborah07 βοΈ Weka imel yako βοΈ Weka namba ya simu βοΈWeka Majina kamili ya hiyo namba ya simu βοΈWeka username, Mfano *ALIMA23* hakikisha unabananisha βοΈWeka Paswerd inaanzia na namba nne..... Mfano, 2020 βοΈ Rudia tena Paswerd Kam ulivo Weka mwanzo bila kukosea βοΈ Chagua inchi yako ππ Gusa neno *SIGN UP* *KISHA NITUMIE UNSERNAME YAKO ILI NIKUANGALIE KAM UPO KWENY KAMPUN KABLA HUJA LIPIA*