💸 Earn from Home with OctaFX! 📱 No matter who you are, you can start earning today—right from home! 🎓 Students – Make money during your free time. 👷♂️ Workers – Earn extra income after work. 🧑🦰 Unemployed – Start earning with just your phone. 👨👩👧👦 Parents – Trade during nap time or school hours. Join OctaFX today and take charge of your financial future! 📲 Sign up now. 👇👇 [link hidden — subscribe to view] [link hidden — subscribe to view]?mode=ac_tguys
Verified invite link, member details and advertising options on WhatsAd.
Karibu sana😊, ni muhimu utambue haya👉🏽hailuhusiwi kutuma link za magroup mengine hili ni group kwa ajili ya walio mwamini kristo tu. Imba fundisha neno la Mungu tuma link, hailuhusiwi kutuma link zaidi ya mala 2 kwa siku, siku ya kutuma matangazo ni juma mosi na juma pili. Fuata sheria jisìkie huru😊. Hailuhusiwi kutuma mambo ya kisiasa
🌿✨🙏 UONGOZI WA SALA, NOVENA, MAOMBI NA SADAKA 🙏✨🌿 UTANGULIZI: Kundi hili limeanzishwa kwa ajili ya kuwaleta pamoja waamini kama familia moja ya Kikristo. Ni mahali pa sala, mshikamano, upendo na kujengeana imani. Tunakusanyika kwa pamoja ili kumtukuza Mungu, kuombeana, kushirikiana katika Novena, na kuunga mkono kazi za Mungu kupitia sadaka za hiari. DIRA: Kujenga jumuiya ya Kikristo yenye mshikamano wa kiroho na kijamii, inayosali kwa bidii, kushirikiana kwa sadaka na kuishi ushuhuda wa imani hai. DHIMA: Kuwaleta pamoja Wakristo kwa ajili ya sala, Novena, maombi na sadaka za hiari; kukuza mshikamano, kushirikiana katika changamoto za maisha, na kushuhudia upendo wa Mungu kwa maneno na matendo. MALENGO MAKUU: 1. Kuwaunganisha wanakikundi kupitia sala na Novena za kila siku. 2. Kuimarisha mshikamano wa Kikristo kwa kushirikiana kiroho na kimwili. 3. Kukuza mshirikiano na moyo wa kusaidiana kupitia sadaka za hiari. 4. Kuombea familia, Kanisa, taifa na mahitaji binafsi ya kila mwanakikundi. 5. Kufundishana mafundisho ya imani ili kukuza maisha ya kiroho. THAMANI KUU: 🌟 Imani thabiti kwa Mungu 🌟 Upendo wa kweli kwa Mungu na jirani 🌟 Mshikamano na mshirikiano wa dhati 🌟 Ukarimu na moyo wa kutoa sadaka za hiari 🌟 Unyenyekevu, nidhamu na heshima 🌟 Kuwa mashuhuda wa amani na imani hai KANUNI ZA KUNDI: ✅ Kudumisha heshima na mshikamano kati ya washiriki wote. ✅ Kushiriki kikamilifu katika sala, Novena na sadaka (kwa hiari). ✅ Kuweka kundi kwa ajili ya mambo ya kiimani pekee. ✅ Kuombeana, kusaidiana na kushirikiana katika changamoto na baraka za maisha. 📖 “Kila mmoja na atoe kadiri alivyoazimia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa kulazimishwa; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa furaha.” (2 Wakorintho 9:7)
1.Kejeli, matusi na namna yoyote ya dharau na lugha chafu haziruhusiwi humu. 2.Matani na mizaha sio mahala pake. 3. Humu ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu. 4. Yeyote anahaki ya kuwa mwanagroup ila kwa kuufuata utaratibu husika. 5. Sisi kama watu wa Mungu inatupasa tuamshane kiroho Kisha kuwaamsha na wengine(UTUME KWA JIRANI YANGU NA ULIMWENGU MZIMA) 6. USHIRIKΙΑΝΟ KATIKA UKWELI ΝΑ ΜAOMBI NDIO KITU CHA MUHIMU SANA. 7. MAMBO YA KISIASA NA AINA YOYOTE INAYOJIUSISHA NA VYAMA VYA SIASA HAZIRUHUSIWI. 8. WAKATI WA VOICE CHART ADMIN ANAYO HAKI YA KUINGILIA MAZUNGUMZO WAKATI WOWOTE ULE ANAPOONA KUWA MAMBO HAYAENDI SAWA ATA KAMA YEYE SIYO MWENYEKITI ILI KUJERESHA UTULIVU AU KUWEKA SAWA KILE AMBACHO HAKIPO SAWA. BWANA AWABARIKI MUJIUNGAPΟ ΝΑ GROUP HILI Lazima tuwe watu wa sala nyingi ikiwa tunataka kupiga hatua katika maisha ya kiungu. 5T 161,162
*Karibu tujiunge pamoja Ukalimani Uandishi, Kuhariri na Kutafsiri vitabu, Sauti, voice over za Makala na Maandiko ya Kiroho ya Imani yetu ya Kikristo yenye muktadha wa mafundisho na utamaduni wa wale wanaotarajia kurudi Kwa YESU HIVI KARIBUNI; yale yatakayotuimarisha kiroho na kutuandaa kwa ajili ya marejeo ya Yesu Kristo. YESU ANAKUJA JIANDAE KUMPOKEA* Maranatha!
*DUBI TECH.🇹🇿 TUNATOA HUDUMA HIZI:-* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🧾🧑💻 *MAOMBI YA VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO.* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 📄🧑💻 *UHAKIKI WA VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO.* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 📃 *KUBADILI CHETI CHA KUZALIWA CHA ZAMANI* *KUWA CHA KISASA.* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 📄 *LOSS REPORT(HATI YA UPOTEVU)* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 📗 *PASSPORT YA KUSAFIRIA* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🧾 *USAJILI WA AWALI WA NIDA KIELETRONIKI.* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🧑🎓 *AJIRA PORTAL* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🧑🎓*MAOMBI YA AVN(UNDERGRADUATES) AU* *AVC(DIPLOMA) NUMBER* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ *🧑💻🧑💻 GRAPHICS DESINGS* ▫️ *NEMBO* ▫️ *POSTA* ▫️ *STIKA* ▫️ *VYETI* ▫️ *LEBO ZA BIDHAA* ▫️ *MABANGO*▫️ *KALENDA* ▫️ *VITAMBULISHO* ▫️ *VIPEPERUSHI* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🤱 ~*MAFAO YA UZAZI PSSSF PORTAL*~ ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 💸 ~*MAOMBI YA MIKOPO DIPLOMA, DEGREE, MASTERS & PHD*~ ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ 🏯 ~*MAOMBI YA VYUO NGAZI ZOTE*~ ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ *KARIBU TUKUHUDUMIE* ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ *UMBALI NA WEWE SIO TATIZO, NDANI YA GROUP HILI WAPO WATU WA MIKOA TOFAUTI TOFAUTI TZ BARA NA VISIWANI. NA WOTE WANAPATA HUDUMA BORA* LOCATION: SIMIYU-TANZANIA *🤳 [contact hidden]* / 0697437267 ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
*SHERIA NA TARATIBU ZA GROUP MIJADALA INJILI YA KWELI INTERNATIONAL MINISTRY* Group hili Ni group huru kwa kila mtu, kwa ajili ya kujifunza neno la Mungu kwanjia ya mijadala, mafundisho na maswali n.k. 1 *NI RUHUSA KWA KILA MTUMISHI KUHUBIRI NENO LA MUNGU MDA WO WOTE, KATIKA HAKI NA KWELI YA INJILI YA KRISTO BILA KUPANGWA KWENYE RATIBA.* Wakolosai 3 16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. __________________________ 2 *TUNARUHUSU MADA KUJADILIWA MOJA MOJA, KWA UTARATIBU MOJA BAHADA NYINGINE KWA FAIDA YA KILA MTU.* 1 Petro 3 15 Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu. _________________________ 3 *MADA IKIWA NGUMU NI RUHUSA KUINGIA CONFERENCE ,KWA MAELEZO ZAIDI* __________________________ 4 *INARUHUSIWA KWA KILA MTU KUTOA MADA , ILA ZAMU KWA ZAMU* . __________________________ 5 *MSAHADA KWA MMOJA WETU MWENYE SHIDA, MSIBA, HARUSI N.K INARUHUSIWA KAMCHANGIA NDUGU KATIKA KRISTO, SI KWA LAZIMA WALA KWA SHERIA,BALI KWA HIARI* Wagalatia 6 10 Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio. __________________________ 6 *MATUSI NA DHARAU HAVIRUHUSUWE. UKI ONYWA MARA 3 KAMA HUSIKIE, BASI UTA TOLEWA KWENYE GROUP.* Waefeso 5 3 Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu; 4 wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali afadhali kushukuru. __________________________ 7 *WATUMISHI WANAO* *FUNDISHA MARUFUKU KUOMBA* *PESA AU* *SADAKA KWA KUKAZA NA* *KULAZIMISHA WATU,* *HUSIKIE* *UTATOLEWA NJEE* 2 Wakorintho 9 7 Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu. __________________________ 8 *HAIRUHUSIWE KUTONGOZA WAKE ZA WATU AU KUSUMBUA WATU INBOX, HUSIKIE UTATOLEWA By Ev Mayenge Dieumerci S