SDA 💕SINGLE 🕯️AND SEARCHING🕯️👩❤️👨
❗❗*SHERIA ZA GROUP*👇👇
*1.Huruhusiwi kutumia lugha za kejeri, dharau, kudharirisha, kihuni, mizaa, sifa zisizo na maana*
*2.huruhusiwi kutuma Picha zilizo nnje ya maadili ya kiadventista, emoji, stika, gift, zilizo nnje ya maadili*
*3.KESI ZA INBOX KWAKO USILETE NDANI YA GROUP*
*4.tunatumia RATIBA kuongoza vipindi vyetu hivyo huruhusiwi kuingiza mada ILIYOPO nnje ya kipindi*
*5.huruhusiwi kuchati Kwa ubaguzi*
*6.Kila mwana group anapaswa kumuheshimu mwenzake wa lika yoyote*
7.Ukiingia jitambulishe 👇👇
*Jina lako*
*Picha yako Moja*
*Unako Toka*
*Umri na MAHUSIANo yako*