CommunitiesYESU NI BWANA YHN 14:1-21

YESU NI BWANA YHN 14:1-21

100+ membersSWH

About this community

21 Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi. Yohana 20:21 22 Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu. Yohana 20:22 23 Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa. Yohana 20:23

SWH
Unlock / View Community

Verified invite link, member details and advertising options on WhatsAd.

Related communities

Kumudziwa Yesu TV

Malo oyenera kwa iwo ali ndi njala ya Mulungu

900+ membersActive this monthNYA

BWANA NDIYE MCHUNGAJI WANGU 🙏🙏

Tumsifu yesu kristo.. Ndugu wapendwa group hili nikwaajili ya MUZIKI MUTAKATIFU, SALA PAMOJA NAKUSHIRIKISHANA MAWAZO MBALIMBALI YA KIKATOLIKI TU. mambo mengine kama michezo, story zisizohusiana na maelekez ya group haziruhusiwi. Pia tunapotuma ujumbe tujitaidi kutuma ujumbe uliokamilika tuachane na yale maneno ya mkato mfano. Xmx, p,pa1 n.k. nawaomba tujitahidi kuzingatia maelekezo wakuu tofauti nahapo utaondolewa muda huohuo asante na karibuni sana wakuu🙏🙏.

900+ membersLUA

MOISE GABRIEL E.M.E.N. YESU NI MUNGU

MWISHO UMEKARIBIYA UNABII UNATIMIYA TUBU da Matayo 24.1

800+ membersHAU

NURU YA UJIO WA PILI WA YESU KRISTO,

📖 SHERIA ZA GROUP LETU NI📖 1.Heshima ni lazima Kila mwanachama ataheshimu wengine bila matusi, kejeli au lugha chafu. 2.Lengo la group liheshimiwe Group ni kwa ajili ya kujifunza Neno la Mungu, maombi na kujengana kiroho. Mambo yasiyoendana na kusudi hili hayaruhusiwi. 3.Epuka maudhui yasiyofaa Hairuhusiwi kutuma picha, video au ujumbe usio na maadili au usio wa kiroho. 4.Hakuna matangazo bila ruhusa Biashara, matangazo au promosheni yoyote itaruhusiwa tu kwa idhini ya viongozi wa group. 5.Hakuna siasa wala mijadala ya kugombana Mijadala ya kisiasa au inayoweza kuleta mgawanyiko hairuhusiwi. 6.Weka nidhamu ya kutuma ujumbe Epuka kutuma ujumbe mwingi usio na maana (spam), au ujumbe nje ya mada. 7.Heshimu muda wa group Kama kuna ratiba ya maombi au mafundisho, izingatiwe. 8.Usiri wa group ulindwe Yaliyojadiliwa ndani ya group yabaki ndani ya group isipokuwa kwa ruhusa. 9.Kukosoa kwa upendo Marekebisho yafanyike kwa upendo na heshima, si kwa hasira. 10.Adhabu kwa uvunjaji wa sheria *.Onyo la kwanza *.Onyo la pili *.Kuondolewa kwenye group

400+ membersSWH

YESU NDiYE NJILA CHOONADI NDI MOYO📖📖📖

[link hidden — subscribe to view]

300+ membersLUA

INJILI YA YESU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿( GOSPEL OF JESUS)

JIFUNZE NENO LA MUNGU HAUHITAJI MAOMBI MENGI UNAHITAJI NENO MAOMBI BILA NENO UNACHELEWA NDUGU YANGU ITAMBUE KWELI NAYO IKUWEKE HURU [email protected]🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

96 membersSUK