CommunitiesMUNGU ANAJIBU. MAITAJI

MUNGU ANAJIBU. MAITAJI

65 members

About this community

๐’๐‡๐„๐‘๐ˆ๐€ 1 ๐€๐Š๐”๐๐€ ๐Š๐”๐“๐”๐Œ๐€. ๐’๐“๐‚๐Š ๐”๐Š๐ˆ๐๐€๐‡๐€๐“๐ˆ๐Š๐€. ๐’๐ˆ๐Š๐” ๐’๐ˆ๐“๐€ ๐”๐Š๐Ž๐Œ๐”๐Œ๐€๐๐”๐Œ๐”๐™๐ˆ๐Š๐Ž 2. ๐€๐Š๐”๐๐€. ๐Š๐”๐“๐”๐Œ๐€ ๐Œ๐€๐Œ๐๐Ž๐˜๐€๐’๐ˆ๐˜๐€๐’๐€ ๐”๐Œ๐”. ๐Œ๐”๐†๐‘๐Ž๐”๐๐„ 3 ๐€๐Š๐”๐๐€ ๐Š๐”๐‹๐Ž๐Œ๐๐€๐’๐€๐ƒ๐€๐Š๐€๐”๐Œ๐” 4. ๐€๐Š๐”๐๐€ ๐Š๐”๐ˆ๐“๐€๐๐ˆ๐‹๐€ ๐Œ๐ˆ๐๐€๐๐†๐Ž 4. ๐€๐Š๐”๐๐€ ๐Š๐”๐“๐”๐’๐ˆ ๐Œ๐–๐„๐๐™๐€๐Š๐Ž ๐”๐Œ๐” ๐˜๐€๐๐ˆ ๐Œ๐€๐“๐”๐’๐ˆ. ๐ˆ๐๐€๐Š๐€๐“๐€๐™๐–๐€ 5. ๐Š๐€๐Œ๐€ ๐”๐‹๐ˆ๐Ž๐๐€ ๐Œ๐€๐Ž๐๐Ž ๐”๐Š๐€๐’๐‡๐ˆ๐๐ƒ๐–๐€ ๐Š๐”๐„๐‹๐„๐–๐€ ๐’๐„๐Œ๐€ ๐”๐“๐€๐๐€๐“๐€ ๐“๐€๐…๐ˆ๐’๐ข๐‘๐ˆ 6 ๐Š๐€๐Œ๐€ ๐”๐Š๐Ž ๐๐€๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐˜๐€๐Š๐Ž ๐’๐„๐Œ๐€ ๐”๐Œ๐” ๐–๐€๐‹๐€ ๐€๐๐ƒ๐ˆ๐Š๐€ ๐ˆ๐˜๐Ž ๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ. ๐˜๐€๐Š๐Ž

Unlock / View Community

Verified invite link, member details and advertising options on WhatsAd.

Related communities

MOISE GABRIEL E.M.E.N. YESU NI MUNGU

MWISHO UMEKARIBIYA UNABII UNATIMIYA TUBU da Matayo 24.1

800+ membersHAU

NENO LA MUNGU NI NJIA YA UZIMA๐Ÿ“–

MATHIEU 28:18-20 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ“–๐ŸŽค ๐ŸŽค๐ŸŽค๐ŸŽค๐ŸŽค๐ŸŽค๐ŸŽค๐ŸŽค Mathayo 28 18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

300+ membersSWH

Group la neno la Mungu na maombi hili ni Kanisa ibada za mafundisho neno la Mungu karibuni sana

Group hili linahusu kushirikiana pamoja kuandaa Ibada mbalimbali za makanisa mbalimbali ibada za kusifu na kuabudu kama matamasha mikesha makongamano semina na matukio mbalimbali ya kikristo na pia group hili tutapeana ushirikiano mwenzetu akipata shida tutamsaidia tunahitaji umoja na ushirikiano

200+ membersSWH

GROUPE {{NENO LA MUNGU NI UZIMA}}.

NENO LA MUNGU NI UZIMA. Matendo ya mitume 13:46 Ufunuo w Yoane 2:7

100+ membersKMB

JINSI GANI KIJANA AISAFISHE NJIA YAKE KWA KUTII NENO LA MUNGU.

๐Ÿ“ŒKARIBUNI TUJIFUNZE BIBLIAโœ๏ธ ๐Ÿ“ŒHOLINESS IS OUR PRIORITY.โœ๏ธ ๐Ÿ“ŒKUHUBIRI UTAKATIFU NDIO KIPAUMBELE CHETU.โœ๏ธ SHERIA ZA GROUP ๐Ÿ“Œ โœ๏ธSIO RUHUSA KUTUMA MATANGAZO YOYOTE NDANI YA GROUP. โœ๏ธLUGHA ZA MTAANI HAZIRUHUSIWI โœ๏ธHATURUHUSU KUTUMA LINKS ZA MAKUNDI MENGINE HUMU โœ๏ธTUNARUHUSU KUTUMA MAMBO YAHUSUYO BIBLIA PEKEE YAKE โœ๏ธNI VIZURI KUSHIRIKIANA NA WENGINE WANAPO JIFUNZA

100+ membersSWH

WATEULE WA MUNGU

WATEULE WA MUNGU NI WATU WA NAMNA GANI?๐Ÿ‘‡ JAWABU:- โœ“Ni watu ambao ni Mboni ya Jicho la Mungu mwenyewe.imeandikwa katika Warumi 8:33 Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki. โœ“Wana wa Mungu na waliochaguliwa na Mungu Mwenyezi kupitia Kristo Yesu na wamejazwa nguvu ya Roho Mtakatifu ndani yao. Biblia inasema katika Yohana 15:16 "Si ninyi mlionichagua Mimi, Bali ni Mimi niliyewachagua ninyi;nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; Ili kwamba lolote mmwombalo Baba Kwa Jina langu awapeni". โœ“Wamemwamini Yesu Kristo na kuokoka na Kubatizwa Kwa maji Mengi na kutengwa mbali na dhambi na wamejazwa Roho Mtakatifu. โœ“Wamependwa na Mungu Na wamefanyika viumbe vipya na warithi wa Ahadi zilizo Bora hata uzima wa Milele hata Milele na Milele Amina-Yohana 3:16. โœ“Watakatifu na wameoshwa mavazi yao Kwa damu ya Yesu Kristo. โœ“Wamejikana na kuubeba mioyoni mwao Msalaba wa Yesu Kristo na kumfuata Mwokozi wao maisha yao yote-Marko 8:34. โœ“Mwilini mwao Wamezibeba chapa(Nguvu za Roho Mtakatifu)zake Yesu Kristo-Wagalatia 6:17. โœ“Wenye Haki wa Mungu alie hai na wamepewa Jina jipya na kuitwa Kwa Jina lake Mungu.๐Ÿ‘‡ Tusome Isaya 43:7 MUNGU anasema hivi, Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya. ๐Ÿ“โœ๏ธโ˜๏ธ+ Ufafanuzi na mwingineo kama huo .. Mwisho:๐Ÿ‘‡ Mtu na atuhesabu hivi[Wateule wa Mungu] ,kuwa tu Watumishi wa Kristo na Mawakili wa Siri za Mungu-1Kor 4:1. Haleluya Wateule wa Mungu,Amina na Amin.

100+ membersSWH